Saturday, October 24, 2020

MAJALIWA AHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI LIWALE

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa akivua kofia yake ya CCM ili amvishe Msanii Babby Madaha  katika mkutano wa kampeni aliouhutubia kwenye uwanja wa Ujenzi Liwale, Oktoba 25, 2020.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa akimvisha kofia ya CCM Msanii, Baby Madaha katika mkutano wa kampeni aliouhutubia kwenye uwanja wa Ujenzi Liwale, Oktoba 25, 2020.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa  akizungumza na Bw. Jivunie Mponda baada ya kuhutubia mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Ujenzi Liwale, Oktoba 25, 2020.
 


EmoticonEmoticon