Monday, September 28, 2020

MAJALIWA AHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI - WILAYANI KYERWA

   Mjumbe wa Kamati Kuu, Kassim Majaliwa, akiwasalimia wananchi wa Kata ya Kayanga, wilayani Karagwe, katika mkutano wa kampeni, uliyofanyika katika viwanja vya Changarawe Kayanga, Septemba 29, 2020. 
Mjumbe wa Kamati Kuu, Kassim Majaliwa, akiwahutubia wananchi wa Kata ya Kayanga, wilayani Karagwe, katika mkutano wa kampeni, uliyofanyika katika viwanja vya Changarawe Kayanga, Septemba 29, 2020.
Wananchi wa Kata ya Kayanga, wilayani Karagwe, wakimshangilia Mjumbe wa Kamati Kuu, Kassim Majaliwa, wakati akiwahutubia, katika mkutano wa kampeni, uliyofanyika katika viwanja vya Isingiro, wilayani Kyerwa. Septemba 29, 2020.
Mjumbe wa Kamati Kuu, Kassim Majaliwa, akiwakabidhi nakala ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020-2025 Mgombea Ubunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa, katika mkutano wa kampeni, uliyofanyika katika viwanja vya Isingiro, wilayani Kyerwa. Septemba 29, 2020. Katikati ni Diwani wa Kata ya Kayanga, Germanus Byabusha.
 


EmoticonEmoticon